Papa Paskali I
(Elekezwa kutoka Papa Paschal I)
Jump to navigation
Jump to search
Papa Paskali I alikuwa Papa kuanzia tarehe 25 Januari 817 hadi kifo chake tarehe 11 Februari 824.
Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Paskale Massimi, mwana wa Bonosus.
Alimfuata Papa Stefano IV akafuatwa na Papa Eugenio II.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu, hasa tarehe ya kifo chake[1].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Maandishi[hariri | hariri chanzo]
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- John N.D. Kelly, Gran Dizionario Illustrato dei Papi, Edizioni Piemme S.p.A., 1989, Casale Monferrato (AL), ISBN 88-384-1326-6
- Claudio Rendina, I papi, Ed. Newton Compton, Roma, 1990
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Paskali I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |