Papa Antero
(Elekezwa kutoka Papa Anterus)
Jump to navigation
Jump to search
Papa Antero alikuwa Papa kuanzia tarehe 21 Novemba, 235 hadi kifo chake tarehe 3 Januari, 236.
Alimfuata Papa Ponsyano akafuatwa na Papa Fabiano.
Anaheshimiwa kama mtakatifu, ila hakuna hakika kama alifia dini.
Sikukuu yake huadhimishwa kwenye tarehe ya kifo chake[1].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Antero kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |