Papa Gregori VII
Jump to navigation
Jump to search
Papa Gregori VII, O.S.B. (Soana, Toscana, 1020 hivi – Salerno, Campania, 25 Mei 1085) alikuwa Papa kuanzia tarehe 22 Aprili 1073 hadi kifo chake ugenini.
Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Ildebrando wa Soana.
Alimfuata Papa Aleksanda II akafuatwa na Papa Vikta III.
Alitangazwa na Papa Gregori XIII kuwa mwenye heri (1584), halafu (1728) kuwa mtakatifu na Papa Benedikto XIII.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1].
Maisha[hariri | hariri chanzo]
Baada ya kuwa mmonaki wa Kibenedikto alichangia urekebisho wa Kanisa kama kardinali.
Kisha kuchaguliwa kuwa Papa alipigania kwa nguvu zote uhuru wa Kanisa Katoliki dhidi ya mamlaka ya serikali, akifungua njia kwa mapapa waliofuata.
Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]
Barua zake nyingi kwa mtetezi wake, Matilda wa Toscana zinapatikana katika:
- Women's Biography: Matilda of Tuscany, countess of Tuscany, duchess of Lorraine Archived Mei 10, 2014 at the Wayback Machine..
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Cowdrey, H.E.J. (1998). Pope Gregory VII: 1073–1085. Oxford and New York: Clarendon Press.
- Emerton, Ephraim (1932). The correspondence of Pope Gregory VII: Selected letters from the Registrum. New York: Columbia University Press. OCLC 1471578.
- Robinson, Ian Stuart. (1978). Authority and Resistance in the Investiture Contest: the Polemical Literature of the Late Eleventh Century. Manchester University Press.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Gregori VII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |