Papa Gregori VI

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Gregori VI.

Papa Gregori VI (alifariki 1048) alikuwa Papa kuanzia tarehe 1 Mei 1045 hadi 20 Desemba 1046[1]. Alitokea Roma, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Johannes Gratianus.

Alipata upapa kutoka kwa Papa Benedikto IX.

Baadaye alilazimishwa kujiuzulu, akafuatwa na Papa Klementi II.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Gregori VI kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.