Papa Vitalian
Jump to navigation
Jump to search
Papa Vitalian alikuwa Papa kuanzia tarehe 30 Julai 657 hadi kifo chake tarehe 27 Januari 672.
Jina la baba yake lilikuwa Anastasius, kutoka Segni, Lazio, Italia.
Alimfuata Papa Eugenio I akafuatwa na Papa Adeodato II.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Kanisa Katoliki linaadhimisha sikukuu yake tarehe 27 Januari[1], lakini Waorthodoksi tarehe 23 Julai.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Vitalian kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |