Papa Yohane I
Jump to navigation
Jump to search
Papa Yohane I alikuwa Papa kuanzia tarehe 13 Agosti 523 hadi kifo chake tarehe 18 Mei 526. Alimfuata Papa Hormisdas akafuatwa na Papa Felisi IV.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake ni tarehe 18 Mei[1].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Kuhusu Papa Yohane I katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
- Patron Saints Index: Archived Mei 21, 2009 at the Wayback Machine.
- Fontes Latinae de papis usque ad annum 530 (Papa Felix IV)
- Liber pontificalis
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |