Papa Callixtus I
(Elekezwa kutoka Papa Kalisto I)
Jump to navigation
Jump to search
Papa Callixtus I alikuwa papa kuanzia takriban 217 hadi kifodini chake takriban 222.
Alimfuata Papa Zefirino akafuatwa na Papa Urbano I.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake ni tarehe 14 Oktoba[1].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- J.N.D. Kelly, Oxford Dictionary of the Popes, 2nd edition (Oxford University Press, 2006), 13-4.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Callixtus I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |