Papa Zosimus

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Zosimo.

Papa Zosimus alikuwa Papa kuanzia tarehe 18 Machi 417 hadi kifo chake tarehe 26 Desemba 418[1]. Alikuwa na asili ya Ugiriki.

Alimfuata Papa Innocent I akafuatwa na Papa Boniface I.

Alikuwa na tabia kali iliyochangia migongano Roma na sehemu mbalimbali za Kanisa la Magharibi.

Hata hivyo, tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Desemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Zosimus kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.