Papa Romanus
Jump to navigation
Jump to search
Papa Romanus alikuwa Papa kuanzia Agosti hadi Novemba 897.
Alimfuata Papa Stefano VI. Baada ya miezi michache tu aliondoshwa madarakani akafuatwa na Papa Theodor II.
Tarehe ya kufariki kwake haijulikani.
Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]
- Opera Omnia kadiri ya Migne katika Patrologia Latina pamoja na faharasa
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Romanus kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |