Papa Yohane VII

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mozaiki ya Papa Yohane VII.

Papa Yohane VII alikuwa Papa kuanzia tarehe 1 Machi 705 hadi kifo chake tarehe 18 Oktoba 707[1]. Alitokea nchi ya Ugiriki[2].

Alimfuata Papa Yohane VI akafuatwa na Papa Sisinnio.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane VII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.