Papa Felix IV
(Elekezwa kutoka Papa Felisi IV)
Jump to navigation
Jump to search

Mozaiki ya Mt. Felisi IV.
Papa Felix IV (490 hivi - 22 Septemba 530) alikuwa Papa kuanzia tarehe 12 Julai 526 hadi kifo chake.
Alimfuata Papa Yohane I akafuatwa na Papa Bonifasi II.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake ni tarehe 12 Oktoba[1].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Kuhusu Papa Felix IV katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki.
- Fontes Latinae de papis usque ad annum 530
- Liber pontificalis
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Felix IV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |