Papa Klementi XII

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi XII.

Papa Klementi XII (7 Aprili 16526 Februari 1740) alikuwa Papa kuanzia tarehe 12/16 Julai 1730 hadi kifo chake[1]. Alitokea Firenze, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Lorenzo Corsini.

Alimfuata Papa Benedikto XIII akafuatwa na Papa Benedikto XIV.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi XII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.