Papa Urban VIII

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Papa Urbano VIII)
Papa Urbano VIII.

Papa Urban VIII (Aprili 156829 Julai 1644) alikuwa Papa kuanzia tarehe 6 Agosti/29 Septemba 1623 hadi kifo chake[1]. Alitokea Firenze, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Maffeo Barberini.

Alimfuata Papa Gregori XV akafuatwa na Papa Inosenti X.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Urban VIII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.