Papa Sabinian

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Sabiniano.

Papa Sabinian alikuwa Papa kuanzia mwezi Machi au tarehe 13 Septemba 604 hadi kifo chake tarehe 22 Februari 606[1]. Alitokea Blera, Toscana, Italia[2].

Alimfuata Papa Gregori I akafuatwa na Papa Boniface III.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Duffy, Eamon. Saints and Sinners: A History of the Popes, Yale University Press, 2001, p. 72–73. ISBN 0-300-09165-6
  • Ekonomou, Andrew J. 2007. Byzantine Rome and the Greek Popes: Eastern influences on Rome and the papacy from Gregory the Great to Zacharias, A.D. 590–752. Lexington Books.
  • Maxwell-Stuart, P. G. Chronicle of the Popes: The Reign-by-Reign Record of the Papacy from St. Peter to the Present, Thames & Hudson, 2002, p. 54. ISBN 0-500-01798-0.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Sabinian kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.