Papa Miltiades
Jump to navigation
Jump to search
Papa Miltiades alikuwa Papa kuanzia tarehe 2 Julai 311 hadi kifo chake tarehe 10 Januari 314.
Alimfuata Papa Eusebius akafuatwa na Papa Silvester I.
Kadiri ya Liber Pontificalis, Miltiades alitokea Afrika[1], ingawa aliweza pia kuwa mtu wa Roma.[2]
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[3].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ https://dacb.org/stories/tunisia/militiades/
- ↑ Richard P. McBrien, Lives of the Popes, (HarperCollins, 2000), 56.
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Wikisource has the text of the 1911 Encyclopædia Britannica article Melchiades. |
- Kuhusu Papa Miltiades katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
- Historical "Gift of Constantine": Archived Septemba 24, 2006 at the Wayback Machine. Journal Article Concerning Miltiades and Constantine
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Miltiades kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |