Donato Mkuu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Donato Mkuu kutoka Casae Negrae alikuwa askofu wa Karthago (leo nchini Tunisia) kuanzia mwaka 313.

Alishika msimamo mkali dhidi ya Wakristo walioasi ili kuokoa uhai wao wakati wa dhuluma ya kikatili ya Dola la Roma dhidi yao, hasa chini ya Kaisari Dioklesian.

Kwa ajili hiyo alisababisha farakano kubwa ambalo lilipewa jina lake na kuenea hasa kati ya Waberberi, kabila lake.

Alifariki mwaka 355 uhamishoni.

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Beaver, R. Pierce, “The Donatist Circumcellions”. (Church History, Vol. 4, No.2 June 1935) pp. 123–133.
  • Edwards, Mark ed. trans. Optatus: Against the Donatists. Liverpool: Liverpool University Press, 1997.
  • Frend, W. H. C., “The Donatist Church”. Oxford: Clarendon Press, 1971.
  • McGrath, Alister E. Reformation Thought, an Introduction. Blackwell Publishing, Third edition: January 1999.
  • Gaddis, Michael. There is No Crime for Those Who have Christ. Berkeley: University of California Press: 2005. pp. 103 – 130.
  • Tilley, Maureen A. trans., Donatist Martyr Stories – The Church in Conflict in Roman North Africa. Liverpool: Liverpool University Press: 1996.
  • Tilley, Maureen A., Dilatory Donatists or Procrastinating Catholics: The Trial at the Conference of Carthage (Church History, Vol. 60, No.1 Mar. 1991) pp. 11 – 19.
  • Donatus & the Donatist Schism. http://www.earlychurch.org.uk/donatism.php

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]