Papa Klementi X

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi X.

Papa Klementi X (13 Julai 159022 Julai 1676) alikuwa Papa kuanzia tarehe 29 Aprili/11 Mei 1670 hadi kifo chake[1]. Alitokea Roma, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Emilio Bonaventura Altieri.

Alimfuata Papa Klementi IX akafuatwa na Papa Inosenti XI.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi X kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.