Papa Hilarius
Jump to navigation
Jump to search
Papa Hilarius alikuwa Papa kuanzia tarehe 17 Novemba 461 hadi kifo chake tarehe 28 Februari 468.
Alimfuata Papa Leo I akafuatwa na Papa Simplicio.
Anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 29 Februari (28 Februari katika miaka mifupi)[1], lakini pia 17 Novemba.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]
- Opera Omnia katika Patrologia Latina iliyotolewa na Migne.
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Kuhusu Papa Hilarius katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
- Wace, Henry (1911). "Hilarius, bp. of Rome", Dictionary of Christian Biography and Literature to the End of the Sixth Century.
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Hilarius kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |