Papa Innocent V

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Papa Inosenti V)
Mwenye heri Papa Inosenti V.

Papa Innocent V, O.P. (takriban 122522 Juni 1276) alikuwa Papa kuanzia tarehe 21 Januari/22 Februari 1276 hadi kifo chake[1]. Alitokea Savoie, leo nchini Ufaransa[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Pierre de Tarentaise. Alikuwa mtawa wa shirika la Wahubiri.

Alimfuata Papa Gregori X akafuatwa na Papa Adrian V.

Tarehe 9 Machi 1898 Papa Leo XIII alimtangaza mwenye heri.

Sikukuu yake huadhimishwa kwenye tarehe ya kifo chake.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Innocent V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.