Papa Klementi VIII

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi VIII.

Papa Klementi VIII (24 Februari 15363 Machi 1605) alikuwa Papa kuanzia tarehe 30 Januari/9 Februari 1592 hadi kifo chake[1]. Alitokea Fano, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Ippolito Aldobrandini.

Alimfuata Papa Inosenti IX akafuatwa na Papa Leo XI.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi VIII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.