Papa Gregori XVI

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Gregori XVI.

Papa Gregori XVI, O.S.B.Cam. (18 Septemba 17651 Juni 1846) alikuwa Papa kuanzia tarehe 2/6 Februari 1831 hadi kifo chake[1]. Alitokea Belluno, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Bartolomeo Alberto Cappellari.

Alimfuata Papa Pius VIII akafuatwa na Papa Pius IX.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Gregori XVI kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.