Papa Leo IX
Jump to navigation
Jump to search
Papa Leo IX (21 Juni 1002 – 19 Aprili 1054) alikuwa Papa kuanzia tarehe 12 Februari 1049 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Bruno wa Eguisheim-Dagsburg.
Alimfuata Papa Damaso II akafuatwa na Papa Viktor II.
Alitangazwa na Papa Gregori VII kuwa mtakatifu mwaka 1082.
Sikukuu yake huadhimishwa kwenye tarehe ya kifo chake[1].
Kweli alikuwa Papa bora kutoka Ujerumani katika Karne za Kati, ingawa wakati wa utawala wake lilitokea farakano na Kanisa la Kigiriki (Farakano la mwaka 1054).
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Vyanzo[hariri | hariri chanzo]
- Migne's Patrologia Latina, Vol. 143 (cxliii), Leo IX Epistolae Et Decreta .pdf - 1.9 Mb. See Col. 744B-769D (pgs. 76-89) for Leo IX's letter.
- Mansi's, Sacrorum Conciliorum Nova Amplissima Collectio, Vol. 19 (xix) .pdf - 66 Mb. See Col. 635-656.
- Acta et scripta quae de controversiis ecclesiae Graecae et Latinae, by Dr. Cornelius Will, 1861.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Leo IX kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |