Papa Silvester III

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Papa Silvesta III)
Papa Silvester III.

Papa Silvester III (alifariki 1063) alikuwa Papa kuanzia tarehe 13 au 20 Januari hadi mwezi Machi 1045[1] baada ya Papa Benedikto IX kufukuzwa madarakani mnamo Septemba 1044. Alitokea Roma, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Yohane Crescenzi.

Alilazimishwa kujiuzulu akafuatwa na Papa Benedikto IX aliyekuwa mtangulizi wake.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Silvester III kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.