Papa Yohane XV

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Yohane XV.

Papa Yohane XV alikuwa Papa kuanzia Agosti 985 hadi kifo chake mnamo Machi 996[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa pia Yohane.

Alimfuata Papa Yohane XIV akafuatwa na Papa Gregori V.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane XV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.