Papa Innocent VI

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Papa Inosenti VI)
Papa Inosenti VI.

Papa Innocent VI (1282 au 129512 Septemba 1362) alikuwa Papa kuanzia tarehe 18/30 Desemba 1352 hadi kifo chake[1]. Alitokea Monts, Ufaransa[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Étienne Aubert.

Alimfuata Papa Klementi VI akafuatwa na Papa Urbano V.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Innocent VI kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.