Papa Innocent X
(Elekezwa kutoka Papa Inosenti X)

Papa Innocent X (6 Mei 1574 – 7 Januari 1655) alikuwa Papa kuanzia tarehe 15 Septemba/4 Oktoba 1644 hadi kifo chake[1]. Alitokea Roma, Italia[2].
Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giovanni Battista Pamphilj.
Alimfuata Papa Urbano VIII akafuatwa na Papa Aleksanda VII.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Papa Innocent X katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Innocent X kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |