Papa Gregori IV

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Gregori IV.

Papa Gregori IV alikuwa Papa kuanzia mnamo Septemba 827 au tarehe 29 Machi 828 hadi kifo chake tarehe 25 Januari 844[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Alimfuata Papa Valentino akafuatwa na Papa Sergio II.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Gregori IV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.