Papa Stefano VII

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Stefano VII.

Papa Stefano VII alikuwa Papa kuanzia mwezi wa Januari 929 hadi kifo chake mwezi wa Februari 931[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Stefano de Gabrielli.

Alimfuata Papa Leo VI akafuatwa na Papa Yohane XI.

Stefano VII alikuwa Papa huku Papa Yohane X akiwa bado hai kifungoni.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Stefano VII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.