Januari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Des - Januari - Feb
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30 31
Kalenda ya Gregori

Mwezi wa Januari ni mwezi wa kwanza katika Kalenda ya Gregori. Jina lake limetokana na jina la mungu Ianus wa Warumi. Kwa Kilatini, ianua maana yake ni "mlango".

Januari ina siku 31, na inaanza na siku ya juma sawa na mwezi wa Oktoba; ila katika mwaka mrefu (wenye siku 366), siku yake ya kwanza ni sawa na mwezi wa Aprili na wa Julai.

Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno: