3 Januari
Jump to navigation
Jump to search
| Des - Januari - Feb | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | 31 | ||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Tarehe 3 Januari ni siku ya tatu ya mwaka. Mpaka uishe zinabaki siku 362 (363 katika miaka mirefu).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 1521 - Papa Leo X anamtenga padri Martin Luther na Kanisa Katoliki
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
- 1196 - Tsuchimikado, mfalme mkuu wa Japani (1198-1210)
- 1694 - Mtakatifu Paulo wa Msalaba, padri mwanzilishi wa shirika la Wapasionisti kutoka Italia
- 1886 - John Gould Fletcher, mwandishi na mshairi kutoka Marekani
- 1892 - J.R.R. Tolkien, mtaalamu wa Kiingereza na mwandishi wa Bwana wa Mapete
- 1911 - John Sturges, mwongozaji filamu wa Marekani
- 1929 - Sergio Leone, muongozaji wa filamu kutoka Italia
- 1956 - Mel Gibson, mwigizaji wa filamu kutoka Australia
- 1970 - Boay Akonay, mwanariadha wa Tanzania
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
Sikukuu[hariri | hariri chanzo]
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu ya Jina takatifu la Yesu na ya mtakatifu Papa Antero
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
| Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 3 Januari kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |