Nenda kwa yaliyomo

2 Januari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Des - Januari - Feb
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30 31
Kalenda ya Gregori

Tarehe 2 Januari ni siku ya pili ya mwaka. Mpaka uishe zinabaki siku 363 (364 katika miaka mirefu).

MwakaTukio
1492Mfalme Boabdil wa Granada anasalimisha mji wake kwa wafalme wa Hispania – mwisho wa utawala wa Kiislamu katika rasi ya Hispania
1956Nchi ya Sudani inapata uhuru kutoka Misri na Uingereza
1984Nchi ya Brunei inapata uhuru kutoka Uingereza
1993Nchi ya Chekoslovakia inagawanywa kuwa nchi huru mbili, Ucheki na Slovakia

Waliozaliwa

[hariri | hariri chanzo]
MwakaTukio
869Yozei, mfalme mkuu wa Japani (884–887)
1837Mily Balakirev, mtunzi wa muziki kutoka Urusi
1909Shaaban Robert, mshairi wa Kiswahili kutoka Tanzania
1909Barry Goldwater, mwanasiasa kutoka Marekani
1911Audrey Wurdemann, mshairi kutoka Marekani
1941Martin Evans, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2007
1941Evaristo Marc Chengula, askofu wa Jimbo Katoliki la Mbeya, Tanzania
1950Mudhihir Mohamed Mudhihir, mwanasiasa wa Tanzania
1953Alpha Blondy, mwanamuziki kutoka Côte d'Ivoire
1954Sigfrid Selemani Ng'itu, mwanasiasa wa Tanzania
1960Julius Nyaisangah, mtangazaji wa redio kutoka Tanzania
1962Richard Roxburgh, mwigizaji wa filamu kutoka Australia
1967Tia Carrere, mwigizaji wa filamu kutoka Hawaii
1988Ruth Bosibori, mwanariadha kutoka Kenya
1992Jack Wilshere, mchezaji mpira kutoka Uingereza


Waliofariki

[hariri | hariri chanzo]
MwakaTukio
379Mtakatifu Basil wa Caesarea, askofu na mwalimu wa Kanisa kutoka Uturuki
457Markian, Kaizari wa Dola la Roma Mashariki (450–457)
1833Mtakatifu Serafino wa Sarov, mmonaki padri kutoka Urusi
1954Leonard Bacon, mshairi kutoka Marekani
1995Eugene Wigner, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1963
2008Lucas Sang, mwanariadha wa Kenya


Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 2 Januari kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.