Adalardo wa Corbie

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Adalardo wa Corbie (751 hivi - 2 Januari 827) alikuwa mjukuu wa Karolo Nyundo kama kaisari Karolo Mkuu.

Alijiunga na monasteri na kuwa abati nchini Ufaransa, lakini kwa muda fulani alitakiwa pia kuwa waziri mkuu wa ufalme wa Italia.

Alijitahidi kila mmoja apate mahitaji yake, yaani kusiwe na mtu mwenye mali ya ziada wala chochote kisichezewe, bali kila kitu kishirikishwe kwa sifa ya Mungu[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Januari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Martyrologium Romanum
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.