Airaldo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Airaldo, O.Cart. (alifariki Saint-Jean-de-Maurienne, Savoy, leo nchini Ufaransa, 2 Januari 1146) alikuwa mmonaki askofu[1].

Alipokuwa mkaapweke huko Portes-en-Bugey, na vilevile alipokuwa askofu wa Maurienne, aliunganisha busara ya mchungaji na ugumu wa maisha wa Mkartusi[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Januari[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Congregatio de Causis Sanctorum, Index ac status causarum, Città del Vaticano 1999.
  • Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), Bibliotheca Sanctorum (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.