1909
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1870 |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900
| Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| ►
◄◄ |
◄ |
1905 |
1906 |
1907 |
1908 |
1909
| 1910
| 1911
| 1912
| 1913
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1909 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2023 MMXXIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5783 – 5784 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2776 |
Kalenda ya Ethiopia | 2015 – 2016 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1472 ԹՎ ՌՆՀԲ |
Kalenda ya Kiislamu | 1445 – 1446 |
Kalenda ya Kiajemi | 1401 – 1402 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2078 – 2079 |
- Shaka Samvat | 1945 – 1946 |
- Kali Yuga | 5124 – 5125 |
Kalenda ya Kichina | 4719 – 4720 壬寅 – 癸卯 |
- 1 Januari - Shaaban Robert, mshairi maarufu wa Tanzania
- 2 Januari - Barry Goldwater, mwanasiasa kutoka Marekani
- 15 Januari - Gene Krupa, mwanamuziki kutoka Marekani
- 18 Februari – Wallace Stegner, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1972
- 28 Februari - Ketti Frings, mwandishi kutoka Marekani
- 13 Aprili - Eudora Welty, mwandishi kutoka Marekani
- 22 Aprili - Rita Levi-Montalcini, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1986
- 30 Mei - Benny Goodman, mwanamuziki kutoka Marekani
- 21 Septemba - Kwame Nkrumah (Rais wa kwanza wa Ghana)
- 3 Novemba – James Reston, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1945
- 27 Novemba - James Agee, mwandishi kutoka Marekani
- 14 Desemba - Edward Tatum, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1958
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 15 Januari - Mtakatifu Arnold Janssen (padre Mkatoliki kutoka Ujerumani)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: