1911
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900 |
Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| Miaka ya 1940
| ►
◄◄ |
◄ |
1907 |
1908 |
1909 |
1910 |
1911
| 1912
| 1913
| 1914
| 1915
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1911 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 1 Januari - Audrey Wurdemann, mshairi kutoka Marekani
- 3 Januari - John Sturges, mwongozaji filamu wa Marekani
- 26 Januari - Polykarp Kusch, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1955
- 6 Februari - Ronald Reagan, Rais wa Marekani (1981-89)
- 8 Februari - Elizabeth Bishop, mshairi kutoka Marekani
- 26 Machi - Tennessee Williams, mwandishi kutoka Marekani
- 26 Machi - Bernard Katz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1970
- 6 Aprili - Feodor Lynen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1964
- 8 Aprili - Melvin Calvin, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1961
- 27 Mei - Hubert Humphrey, Kaimu Rais wa Marekani
- 13 Juni - Luis Alvarez, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1968
- 25 Juni - William Stein, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1972
- 30 Julai - Czeslaw Milosz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1980
- 9 Agosti - William Fowler, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1983
- 19 Septemba - William Golding, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1983
- 2 Novemba - Odysseas Elytis, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1979
- 11 Novemba - Antonio Casas, mwigizaji filamu kutoka Hispania
- 11 Desemba - Nagib Mahfuz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1988
- 23 Desemba - Niels Jerne, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1984
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 1 Machi - Jacobus Henricus van 't Hoff, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1901
- 18 Mei - Gustav Mahler, mtunzi wa opera kutoka Austria
- 29 Oktoba - Joseph Pulitzer, mhariri wa magazeti Mmarekani, na mwanzishaji wa Tuzo ya Pulitzer
