Lango:Biografia
Milango ya Wikipedia: Sanaa · Utamaduni · Jiografia · Afya · Historia · Hisabati · Sayansi · Falsafa · Dini · Jamii · Teknolojia
Lango la Wasifu
Biografia (kutoka Kiing. Biography) ni neno la kutaja hadithi ya kweli ya maisha ya mtu. Asili ya neno ni Kigiriki, hasa lilitaja bios (= maisha) na graphein (= andika). Biografia kwa Kiswahili kilichozoeleka ni "Wasifu", japo kumekuwa na tabia ya kukopa maneno. Wasifu ukiandikwa na muhusika unaitwa "tawasifu" ambapo kwa Kiingereza wanaita autobiography.
Watu
Kuzaliwa kwa watu: Waliozaliwa karne ya 21 • Waliozaliwa karne ya 20 • Waliozaliwa karne ya 19 • Waliozaliwa karne ya 18 • > nyingine
Kufariki kwa watu: Waliofariki karne ya 21 • Waliofariki karne ya 20 • Waliofariki karne ya 19 • Waliofariki karne ya 18 • > nyingine
Watu kutokana na kazi: Waandishi • Wachezaji • Wanafalsafa • Wanasayansi • Wanasheria • Wanasiasa • Wasanii • Wataalamu • Watakatifu • Watayarishaji • > nyingine
Watu bara kwa bara: Afrika • Amerika ya Kaskazini • Amerika ya Kusini • Asia • Australia na Pasifiki • Ulaya
Watu nchi kwa nchi: Afrika Kusini • Burundi • Ethiopia • Hispania • Hungaria • Italia • Kanada • Kenya • Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) • Marekani • Misri • Nigeria • Rwanda • Sudan • Tanzania • Uchina • Ufalme wa Muungano • Ufaransa • Uganda • Ujerumani • Zambia • > nyingine
Orodha za watu: Orodha za watawala • Orodha za marais • Orodha za mawaziri wakuu • > nyingine
Je, wajua...?
Vitu unavyoweza kufanya
Wasifu uliochaguliwa
Patrice Émery Lumumba (2 Julai 1925 – 17 Januari 1961) alikuwa mwanasiasa na kiongozi wa harakati za uhuru wa Kongo ambaye alihudumu kama ,Waziri Mkuu wa kwanza wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo huru kuanzia Juni hadi Septemba 1960. Lumumba alikuwa mtu mashuhuri katika harakati za utaifa wa Kongo na alicheza jukumu muhimu katika kuipatia Kongo uhuru kutoka kwa Ubelgiji. Kipindi chake cha uongozi kiligubikwa na mizozo ya kisiasa na migogoro, hali iliyosababisha kuondolewa kwake madarakani na hatimaye kukamatwa. Lumumba aliuawa kwa kupigwa risasi mnamo Januari 1961 katika mazingira tata yaliyohusisha wapinzani wa Kongo pamoja na uingiliaji wa mataifa ya kigeni, hususan Ubelgiji na Marekani. Anakumbukwa kwa mapana kama ishara ya ukombozi wa Afrika na upinzani dhidi ya ukoloni.
Jamii
Masharika ya Wikimedia
| Biographies on Wikiquote Quotes |
Biographies on Commons Images |
Biographies on Wikisource Texts |
Biographies on Wikibooks Manuals & Texts |
