Nenda kwa yaliyomo

Arnold Janssen

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha halisi ya Mtakatifu Arnold Janssen.

Mtakatifu Arnold Janssen (Goch, Ujerumani,5 Novemba 1837Steyl, Uholanzi, 15 Januari 1909) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki aliyeanzisha mashirika ya wamisionari wa kiume na wa kike [1].

Alitangazwa na Papa Paulo VI kuwa mwenye heri tarehe 19 Oktoba 1975, na Papa Yohane Paulo II tarehe 5 Oktoba 2003 kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Januari[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.