Arnold Janssen
Mandhari
Mtakatifu Arnold Janssen (Goch 5 Novemba 1837 – Steyl 15 Januari 1909) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki kutoka nchi ya Ujerumani aliyeanzisha mashirika ya wamisionari wa kiume na wa kike.
Mwaka 2003 alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Januari[1].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Biography - Society of the Divine Word
- Biography - Vatican News Service
- Catholic Encyclopedia: Arnold Janssen
- Biography and other resources Ilihifadhiwa 19 Desemba 2014 kwenye Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |