Arnold Janssen
Mandhari

Mtakatifu Arnold Janssen (Goch, Ujerumani,5 Novemba 1837 – Steyl, Uholanzi, 15 Januari 1909) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki aliyeanzisha mashirika ya wamisionari wa kiume na wa kike [1].
Alitangazwa na Papa Paulo VI kuwa mwenye heri tarehe 19 Oktoba 1975, na Papa Yohane Paulo II tarehe 5 Oktoba 2003 kuwa mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Januari[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Biography - Society of the Divine Word
- Biography - Vatican News Service
- Catholic Encyclopedia: Arnold Janssen
- Biography and other resources Ilihifadhiwa 19 Desemba 2014 kwenye Wayback Machine.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |