1837
Jump to navigation
Jump to search
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1800 |
Miaka ya 1810 |
Miaka ya 1820 |
Miaka ya 1830
| Miaka ya 1840
| Miaka ya 1850
| Miaka ya 1860
| ►
◄◄ |
◄ |
1833 |
1834 |
1835 |
1836 |
1837
| 1838
| 1839
| 1840
| 1841
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1837 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2022 MMXXII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5782 – 5783 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2775 |
Kalenda ya Ethiopia | 2014 – 2015 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1471 ԹՎ ՌՆՀԱ |
Kalenda ya Kiislamu | 1444 – 1445 |
Kalenda ya Kiajemi | 1400 – 1401 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2077 – 2078 |
- Shaka Samvat | 1944 – 1945 |
- Kali Yuga | 5123 – 5124 |
Kalenda ya Kichina | 4718 – 4719 辛丑 – 壬寅 |
- 2 Januari - Mily Balakirev, mtunzi wa muziki kutoka Urusi
- 18 Machi - Grover Cleveland, Rais wa Marekani (1885-1889; 1893-1897)
- 21 Aprili - Fredrik Bajer (mwanasiasa Mdenmark, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1908)
- 5 Novemba - Mtakatifu Arnold Janssen (padre Mkatoliki kutoka Ujerumani)
- 23 Novemba - Johannes Diderik van der Waals, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1910
bila tarehe
- Hamed bin Mohammed el Murjebi, mfanyabiashara wa Tanzania na mwandishi wa tawasifu wa kwanza wa Kiswahili
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 23 Januari - John Field, mtunzi wa opera kutoka Eire
- 10 Februari - Aleksander Pushkin, mwandishi kutoka Urusi
Wikimedia Commons ina media kuhusu: