1835
Jump to navigation
Jump to search
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1800 |
Miaka ya 1810 |
Miaka ya 1820 |
Miaka ya 1830
| Miaka ya 1840
| Miaka ya 1850
| Miaka ya 1860
| ►
◄◄ |
◄ |
1831 |
1832 |
1833 |
1834 |
1835
| 1836
| 1837
| 1838
| 1839
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1835 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 1835 MDCCCXXXV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5595 – 5596 |
Kalenda ya Ethiopia | 1827 – 1828 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1284 ԹՎ ՌՄՁԴ |
Kalenda ya Kiislamu | 1251 – 1252 |
Kalenda ya Kiajemi | 1213 – 1214 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 1890 – 1891 |
- Shaka Samvat | 1757 – 1758 |
- Kali Yuga | 4936 – 4937 |
Kalenda ya Kichina | 4531 – 4532 甲午 – 乙未 |
- 18 Januari - César Cui, mtunzi wa opera kutoka Urusi
- 2 Juni - Papa Pius X (Guiseppe Sarto)
- 27 Julai - Giosue Carducci (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1906)
- 9 Oktoba - Camille Saint-Saëns, mtunzi wa muziki kutoka Ufaransa
- 23 Oktoba - Adlai Stevenson, Kaimu Rais wa Marekani (1893-97)
- 31 Oktoba - Adolf von Baeyer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1905)
- 30 Novemba - Mark Twain, mwandishi kutoka Marekani
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 2 Machi - Kaisari Francis II wa Ujerumani, tangu 1804 alikuwa Francis I wa Austria
- 23 Septemba - Vincenzo Bellini, mtunzi wa opera kutoka Italia
- 20 Oktoba - Tanomura Chikuden (mchoraji Mjapani)
- 10 Aprili - Mtakatifu Magdalena wa Canossa, bikira nchini Italia
Wikimedia Commons ina media kuhusu: