Vincenzo Bellini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Vincenzo Bellini.

Vincenzo Bellini (3 Novemba 1801 - 23 Septemba 1835) alikuwa mtunzi aliyemaarufu kwa Opera kutoka nchi ya Italia. Alikuwa mmoja kati ya watunzi muhimu wa Opera kwa karne ya 19. Aliwapatia waimbaji wake ala nzuri za kuimba na huku mwenyewe akiwa anatoa msaada wake wa kibendi.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Vincenzo Bellini kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber