Nikolai Rimsky-Korsakov

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nikolai Rimsky-Korsakov.

Nikolai Andreyevich Rimsky-Korsakov (Kirusi:Николай Андреевич Римский-Корсаков, Nikolaj Andreevič Rimskij-Korsakov, pia Nikolay, Nicolai, na Rimsky-Korsakoff (18 Machi 1844 - 21 Juni 1908) alikuwa mtunzi wa Opera kutoka nchini Urusi. Alikuwa mtunzi maarufu wa kipindi cha Romantic na ana athari kubwa za watunzi wengine wa Opera. Huyu pia ni mmoja kati wa watunzi watano mashuhuri wa Kirusi.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nikolai Rimsky-Korsakov kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber