Franz Liszt

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Franz Liszt mwaka 1858.

Franz Liszt (22 Oktoba 181131 Julai 1886) alikuwa mtunzi wa Opera na mpigakinanda mashuhuri kutoka nchini Hungaria.

Amefahamika sana kwa ujuzi wake wa upigaji kinanda kwa haraka zaidi na kuwa na maarifa ya juu katika fani hiyo.

Upande wa dini, alikuwa Mkristo wa Kanisa Katoliki, tena mwanachama wa Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Nakala za muziki wake[hariri | hariri chanzo]

Rekodi zake[hariri | hariri chanzo]

Kazi za fasihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Franz Liszt kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber