1841
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1810 |
Miaka ya 1820 |
Miaka ya 1830 |
Miaka ya 1840
| Miaka ya 1850
| Miaka ya 1860
| Miaka ya 1870
| ►
◄◄ |
◄ |
1837 |
1838 |
1839 |
1840 |
1841
| 1842
| 1843
| 1844
| 1845
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1841 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2023 MMXXIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5783 – 5784 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2776 |
Kalenda ya Ethiopia | 2015 – 2016 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1472 ԹՎ ՌՆՀԲ |
Kalenda ya Kiislamu | 1445 – 1446 |
Kalenda ya Kiajemi | 1401 – 1402 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2078 – 2079 |
- Shaka Samvat | 1945 – 1946 |
- Kali Yuga | 5124 – 5125 |
Kalenda ya Kichina | 4719 – 4720 壬寅 – 癸卯 |
- 28 Januari - Henry Morton Stanley, mwandishi wa habari kutoka Welisi na Marekani aliyesafiri hasa Afrika Mashariki
- 25 Agosti - Emil Theodor Kocher (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1909)
- 8 Septemba - Antonín Dvořák, mtunzi wa muziki kutoka Ucheki
- 13 Novemba - Oreste Baratieri
- 20 Desemba - Ferdinand Buisson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1927)
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 4 Aprili - William Henry Harrison, Rais wa Marekani (1841)
- 28 Aprili - Mtakatifu Peter Chanel, padre Mkatoliki na mfiadini kutoka Ufaransa
- 1 Juni - Nicolas Appert, Mfaransa