1927
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900 |
Miaka ya 1910 |
Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| Miaka ya 1940
| Miaka ya 1950
| ►
◄◄ |
◄ |
1923 |
1924 |
1925 |
1926 |
1927
| 1928
| 1929
| 1930
| 1931
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1927 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 13 Januari - Sydney Brenner, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2002
- 1 Februari - Galway Kinnell, mshairi kutoka Marekani
- 12 Machi - Raúl Alfonsín, rais wa Argentina (1983-1989)
- 29 Machi - John Vane, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1982
- 7 Aprili - Babatunde Olatunji, mwanamuziki kutoka Nigeria
- 10 Aprili - Marshall Nirenberg, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1968
- 14 Aprili - Alan MacDiarmid, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2000
- 20 Aprili - Karl Alexander Müller, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1987
- 9 Mei - Manfred Eigen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1967
- 22 Mei - George Olah, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1994
- 24 Juni - Martin Perl, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1995
- 28 Juni - Sherwood Rowland, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1995
- 28 Julai - John Ashbery, mshairi kutoka Marekani
- 30 Septemba- William S. Merwin, mshairi kutoka Marekani
- 8 Oktoba - César Milstein, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1984
- 14 Oktoba - Roger Moore, mwigizaji filamu kutoka Uingereza
- 16 Oktoba - Gunter Grass, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1999
- 13 Desemba - James Wright, mshairi kutoka Marekani
bila tarehe
- Paulo Bilinge Magomba, mmoja wa wakazi wa kwanza wa mji wa Migoli, Tanzania
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 22 Januari - James Ford Rhodes, mwanahistoria kutoka Marekani
- 27 Aprili – Albert Beveridge, mwanasiasa wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1920
- 25 Mei - Mtakatifu Kristofa Magallanes, padri na mfiadini wa Kanisa Katoliki nchini Meksiko
- 5 Julai - Albrecht Kossel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1910
- 29 Septemba - Willem Einthoven, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1924
- 2 Oktoba - Svante Arrhenius, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1903
