1926
Jump to navigation
Jump to search
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900 |
Miaka ya 1910 |
Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| Miaka ya 1940
| Miaka ya 1950
| ►
◄◄ |
◄ |
1922 |
1923 |
1924 |
1925 |
1926
| 1927
| 1928
| 1929
| 1930
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1926 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 6 Agosti - Gertrude Ederle ni mwanamke wa kwanza kuvuka mlangobahari kati ya Uingereza na Ufaransa kwa kuogelea.
- 15 Novemba - Kuanzishwa kwa Jumuiya ya Kibritania katika Azimio la Balfour (kwa Kiingereza Balfour Declaration of 1926), mtangulizi wa Jumuiya ya Madola kama ushirikiano wa Uingereza na koloni zake za zamani.
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
| Kalenda ya Gregori | 2020 MMXX |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5780 – 5781 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2773 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2012 – 2013 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1469 ԹՎ ՌՆԿԹ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1442 – 1443 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1398 – 1399 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2075 – 2076 |
| - Shaka Samvat | 1942 – 1943 |
| - Kali Yuga | 5121 – 5122 |
| Kalenda ya Kichina | 4716 – 4717 己亥 – 庚子 |
- 5 Januari - W. D. Snodgrass, mshairi kutoka Marekani
- 29 Januari - Abdus Salam, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1979
- 27 Februari - David Hubel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1981
- 3 Machi - James Merrill, mshairi kutoka Marekani
- 24 Machi - Dario Fo, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1997
- 21 Aprili - Elizabeth II, Malkia wa Uingereza
- 28 Aprili - Harper Lee, mwandishi kutoka Marekani
- 25 Mei - Miles Davis, mwanamuziki kutoka Marekani
- 27 Mei - Rashidi Kawawa, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 1 Juni - Marilyn Monroe, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 19 Juni - Antoni Gaudi, msanifu majengo wa Hispania
- 30 Juni - Paul Berg, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1980
- 9 Julai - Ben Mottelson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1975
- 16 Julai - Irwin Rose, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2004
- 11 Agosti - Aaron Klug, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1982
- 13 Agosti - Fidel Castro, Rais wa Kuba
- 3 Septemba - Alison Lurie, mwandishi kutoka Marekani
- 21 Septemba - Donald A. Glaser, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1960
- 23 Septemba - John Coltrane, mwanamuziki kutoka Marekani
- 18 Oktoba - Klaus Kinski, mwigizaji filamu kutoka Ujerumani
- 25 Novemba - Tsung-Dao Lee, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1957
- 30 Novemba - Andrew Schally, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1977
- 9 Desemba - Henry Kendall, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1990
bila tarehe
- Bibi Titi Mohammed, mwanasiasa wa Tanzania
- Sydney Clouts, mwandishi wa Afrika Kusini
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 21 Januari - Camillo Golgi, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1906
- 16 Februari - Mwenye heri Yosefu Allamano, padri mwanzilishi nchini Italia
- 21 Februari - Heike Kamerlingh Onnes, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1913
- 14 Septemba - Rudolf Christoph Eucken, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1908
- 25 Desemba - Yoshihito, Mfalme Mkuu wa Japani
Wikimedia Commons ina media kuhusu: