1997
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1960 |
Miaka ya 1970 |
Miaka ya 1980 |
Miaka ya 1990
| Miaka ya 2000
| Miaka ya 2010
◄◄ |
◄ |
1993 |
1994 |
1995 |
1996 |
1997
| 1998
| 1999
| 2000
| 2001
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1997 BK (Baada ya Kristo).
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2023 MMXXIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5783 – 5784 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2776 |
Kalenda ya Ethiopia | 2015 – 2016 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1472 ԹՎ ՌՆՀԲ |
Kalenda ya Kiislamu | 1445 – 1446 |
Kalenda ya Kiajemi | 1401 – 1402 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2078 – 2079 |
- Shaka Samvat | 1945 – 1946 |
- Kali Yuga | 5124 – 5125 |
Kalenda ya Kichina | 4719 – 4720 壬寅 – 癸卯 |
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 8 Januari - Melvin Calvin, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1961
- 10 Januari - Alexander Todd, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1957
- 12 Januari - Charles Huggins, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1966
- 7 Machi - Edward Purcell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1952
- 9 Machi - The Notorious B.I.G., mwanamuziki kutoka Marekani
- 12 Aprili - George Wald, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1967
- 2 Mei - John Eccles, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1963
- 22 Mei - Alfred Hershey, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1969
- 8 Juni - Amos Tutuola, mwandishi kutoka Nigeria
- 2 Agosti - Fela Kuti, mwanamuziki kutoka Nigeria
- 23 Agosti - John Kendrew, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1962
- 5 Septemba - Mtakatifu Mama Teresa wa Kolkata (Agnes Bojaxhiu), mtawa wa India mwenye asili ya Kialbania
- 7 Septemba - Mobutu Sese Seko, Rais wa nchi ya Zaire
- 16 Oktoba - James Michener, mwandishi wa Marekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1948
- 10 Novemba - Tommy Tedesco, mwanamuziki kutoka Marekani
- 25 Novemba - Hastings Kamuzu Banda, rais wa Malawi (1966-1994)
- 8 Desemba - Laurean Rugambwa, Askofu mkuu wa Dar es Salaam (Tanzania), Kardinali wa kwanza kutoka Kusini kwa Sahara
- 24 Desemba - Toshiro Mifune, mwigizaji wa filamu kutoka Japani
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: