1997
Jump to navigation
Jump to search
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1960 |
Miaka ya 1970 |
Miaka ya 1980 |
Miaka ya 1990
| Miaka ya 2000
| Miaka ya 2010
◄◄ |
◄ |
1993 |
1994 |
1995 |
1996 |
1997
| 1998
| 1999
| 2000
| 2001
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1997 BK (Baada ya Kristo).
Ni mwaka mbao Steve Iwatta alizaliwa
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
| Kalenda ya Gregori | 1997 MCMXCVII |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5757 – 5758 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1989 – 1990 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1446 ԹՎ ՌՆԽԶ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1418 – 1419 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1375 – 1376 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2052 – 2053 |
| - Shaka Samvat | 1919 – 1920 |
| - Kali Yuga | 5098 – 5099 |
| Kalenda ya Kichina | 4693 – 4694 丙子 – 丁丑 |
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 8 Januari - Melvin Calvin, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1961
- 10 Januari - Alexander Todd, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1957
- 12 Januari - Charles Huggins, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1966
- 7 Machi - Edward Purcell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1952
- 9 Machi - The Notorious B.I.G., mwanamuziki kutoka Marekani
- 12 Aprili - George Wald, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1967
- 2 Mei - John Eccles, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1963
- 22 Mei - Alfred Hershey, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1969
- 8 Juni - Amos Tutuola, mwandishi kutoka Nigeria
- 2 Agosti - Fela Kuti, mwanamuziki kutoka Nigeria
- 23 Agosti - John Kendrew, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1962
- 5 Septemba - Mtakatifu Mama Teresa wa Kolkata (Agnes Bojaxhiu), mtawa wa India mwenye asili ya Kialbania
- 7 Septemba - Mobutu Sese Seko, Rais wa nchi ya Zaire
- 16 Oktoba - James Michener, mwandishi wa Marekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1948
- 10 Novemba - Tommy Tedesco, mwanamuziki kutoka Marekani
- 25 Novemba - Hastings Kamuzu Banda, rais wa Malawi (1966-1994)
- 8 Desemba - Askofu mkuu Laurean Rugambwa wa Dar es Salaam (Tanzania), Kardinali wa kwanza kutoka Kusini kwa Sahara
- 24 Desemba - Toshiro Mifune, mwigizaji wa filamu kutoka Japani
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: