1924
Jump to navigation
Jump to search
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900 |
Miaka ya 1910 |
Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| Miaka ya 1940
| Miaka ya 1950
| ►
◄◄ |
◄ |
1920 |
1921 |
1922 |
1923 |
1924
| 1925
| 1926
| 1927
| 1928
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1924 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 3 Machi - Uongonzi wa Khalifa umepinduliwa na Kemal Atatürk.
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2021 MMXXI |
Kalenda ya Kiyahudi | 5781 – 5782 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2774 |
Kalenda ya Ethiopia | 2013 – 2014 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1470 ԹՎ ՌՆՀ |
Kalenda ya Kiislamu | 1443 – 1444 |
Kalenda ya Kiajemi | 1399 – 1400 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2076 – 2077 |
- Shaka Samvat | 1943 – 1944 |
- Kali Yuga | 5122 – 5123 |
Kalenda ya Kichina | 4717 – 4718 庚子 – 辛丑 |
- 10 Januari - Max Roach, mwanamuziki kutoka Marekani
- 11 Januari - Roger Guillemin, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1977
- 8 Februari - Lisel Mueller, mshairi kutoka Marekani
- 23 Februari - Allan Cormack, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1979
- 3 Aprili - Marlon Brando, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 11 Mei - Antony Hewish, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1974
- 16 Mei - Dawda Jawara, Rais wa Gambia (1970-1994)
- 3 Juni - Torsten Wiesel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1981
- 12 Juni - George H. Bush, Rais wa Marekani (1989-93)
- 14 Juni - James Black, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1988
- 1 Agosti - Georges Charpak, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1992
- 19 Agosti - Willard Boyle, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 2009
- 22 Agosti - James Kirkwood, mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1976
- 31 Agosti - Buddy Hackett, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 2 Septemba - Daniel arap Moi, Rais wa pili wa Kenya
- 13 Septemba - Maurice Jarre, mwanamuziki kutoka Ufaransa
- 1 Oktoba - Jimmy Carter, Rais wa Marekani (1977-81)
- 28 Novemba - Dennis Brutus, mwandishi kutoka Afrika Kusini
- Desemba - Girma Wolde-Giorgis, Rais wa Ethiopia
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 21 Januari - Vladimir Lenin, kiongozi wa Umoja wa Kisovyeti
- 3 Februari - Woodrow Wilson, Rais wa Marekani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1919
- 19 Mei - Mtakatifu Maria Bernarda Buetler, bikira Mfransisko mmisionari kutoka Uswisi
- 3 Juni - Franz Kafka, mwandishi wa Kijerumani kutoka milki ya Austria-Hungaria
- 12 Oktoba - Anatole France, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1921
- 29 Novemba - Giacomo Puccini, mtunzi wa opera kutoka Italia
- 29 Desemba - Carl Spitteler, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1919
Wikimedia Commons ina media kuhusu: