1920
Jump to navigation
Jump to search
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900 |
Miaka ya 1910 |
Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| Miaka ya 1940
| Miaka ya 1950
| ►
◄◄ |
◄ |
1916 |
1917 |
1918 |
1919 |
1920
| 1921
| 1922
| 1923
| 1924
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1920 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 10 Januari - Shirikisho la Mataifa linaanza kazi yake.
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
| Kalenda ya Gregori | 1920 MCMXX |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5680 – 5681 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1912 – 1913 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1369 ԹՎ ՌՅԿԹ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1339 – 1340 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1298 – 1299 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 1975 – 1976 |
| - Shaka Samvat | 1842 – 1843 |
| - Kali Yuga | 5021 – 5022 |
| Kalenda ya Kichina | 4616 – 4617 己未 – 庚申 |
- 9 Januari - Clive Dunn, mwigizaji wa filamu kutoka Uingereza
- 20 Januari - Federico Fellini, mwongozaji wa filamu kutoka Italia
- 12 Februari - Pran, mwigizaji wa filamu kutoka Uhindi
- 29 Februari - Howard Nemerov, mshairi kutoka Marekani
- 11 Machi - Nicolaas Bloembergen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1981
- 15 Machi - Donnall Thomas, daktari kutoka Marekani, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1990
- 1 Aprili - Toshiro Mifune, mwigizaji wa filamu kutoka Japani
- 6 Aprili - Edmond Fischer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1992
- 18 Mei - Papa Yohane Paulo II
- 17 Juni - Francois Jacob, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1965
- 20 Juni - Amos Tutuola, mwandishi kutoka Nigeria
- 10 Julai - Owen Chamberlain, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1959
- 11 Julai - Yul Brynner, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 29 Agosti - Charlie Parker, mwanamuziki kutoka Marekani
- 29 Septemba - Peter Mitchell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1978
- 29 Oktoba - Baruj Benacerraf, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1980
- 31 Oktoba - Dedan Kimathi (kiongozi Mkenya wa Mau Mau)
- 13 Novemba - Jack Elam, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 6 Desemba - Dave Brubeck, mwanamuziki wa Marekani
- 6 Desemba - George Porter, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1967
bila tarehe
- Achieng Oneko, mwanasiasa wa Kenya
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 7 Januari - Edmund Barton, Waziri Mkuu wa kwanza wa Australia
- 16 Mei - Levi Parsons Morton, Kaimu Rais wa Marekani (1889-1893)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: