1937
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1900 |
Miaka ya 1910 |
Miaka ya 1920 |
Miaka ya 1930
| Miaka ya 1940
| Miaka ya 1950
| Miaka ya 1960
| ►
◄◄ |
◄ |
1933 |
1934 |
1935 |
1936 |
1937
| 1938
| 1939
| 1940
| 1941
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1937 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2023 MMXXIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5783 – 5784 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2776 |
Kalenda ya Ethiopia | 2015 – 2016 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1472 ԹՎ ՌՆՀԲ |
Kalenda ya Kiislamu | 1445 – 1446 |
Kalenda ya Kiajemi | 1401 – 1402 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2078 – 2079 |
- Shaka Samvat | 1945 – 1946 |
- Kali Yuga | 5124 – 5125 |
Kalenda ya Kichina | 4719 – 4720 壬寅 – 癸卯 |
- 20 Februari - Robert Huber, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1988
- 2 Machi - Abdelaziz Bouteflika, Rais wa Algeria
- 5 Machi - Olusegun Obasanjo, Rais wa Nigeria 1976-79 na 1999-2007
- 1 Juni - Morgan Freeman, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 11 Juni - Robin Warren, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 2005
- 23 Juni - Martti Ahtasaari, Rais wa Ufini (1994-2000), na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 2008
- 26 Juni - Robert Richardson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1996
- 6 Julai – Bessie Head, mwandishi wa Afrika Kusini na Botswana
- 18 Julai - Roald Hoffmann, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1981
- 8 Agosti - Dustin Hoffman, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 6 Oktoba - Mario Capecchi, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2007
- 30 Oktoba - Seraphino Antao, mwanariadha kutoka Kenya
- 17 Desemba - John Kennedy Toole, mwandishi kutoka Marekani
- 31 Desemba - Avram Hershko, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2004
bila tarehe
- Edward Tingatinga, msanii kutoka Tanzania
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 7 Februari - Elihu Root, mwanasiasa Mmarekani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1912
- 16 Machi - Austen Chamberlain, mwanasiasa Mwingereza na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1925
- 11 Julai - George Gershwin, mtungaji wa muziki Mmarekani)
- 20 Julai - Guglielmo Marconi, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1909
- 11 Agosti - Edith Wharton, mwandishi kutoka Marekani
- 19 Oktoba - Ernest Rutherford, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1908
- 9 Desemba - Nils Dalen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1912
- 21 Desemba - Frank Kellogg, mwanasiasa Mmarekani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1929
Wikimedia Commons ina media kuhusu: