Abdelaziz Bouteflika

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Abdelaziz Bouteflika

Abdelaziz Bouteflika, 2006
Amezaliwa 2 Machi 1937
Algeria
Amekufa 18 Septemba 2021
Nchi Algeria
Kazi yake Rais

Abdelaziz Bouteflika (2 Machi 1937 - 18 Septemba 2021) alikuwa rais wa nchi ya Algeria tangu tarehe 27 Aprili 1999 hadi kujiuzulu kwake kwenye 2 Aprili 2019.

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Abdelaziz Bouteflika kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.